August 11, 2009

MIAKA 25 YA NDOA

Bwana Wise Mcinange na Bi Marystella Wise wakiwa katika Kanisa la KKKT Usharika wa Mtoni Dar es Salaam katika misa takatifu ya kuadhimisha miaka 25 ya ndoa yao Agosti 9 2009. Ndoa hii imebarikiwa watoto 3, Issac, Moses na Frederick. Tafrija kabambe ilifanyika Msimbazi Center Marantha Hall.

No comments:

Post a Comment