August 24, 2009

Masai wa siku hizi

Hapa tunadumisha mila kwa kusuka akina mama ile nywele yetu. Morani wakiwa kazini pale Ilala Amana. Sikuhizi vijana wa kimasai hakuna kufuga dili zote mjini kulinda na kusuka pamoja na kuuza dawa za jadi.

No comments:

Post a Comment