July 13, 2009

Mfugo wa mama Pinda huu

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwaonyesha sungura watoto wa Kijiji cha Matumaini cha Dodoma kinacholea watoto yatima ambao aliwaalika nyumbani kwake Mjini Dodoma , Julai 12, 2009. Nimeipenda sana hii mifugo enzi hizo nilikuwa nayo mingi.

No comments:

Post a Comment