KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 29, 2009
Cheyo atimuliwa Bungeni na Spika
Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo akitoka nje ya ukumbi wa Bunjge Mjini Dodoma Juni 29, 2009 baada ya kuamriwa kufanya hivyo na Spika wa Bunge Samwel Sitta kwenye kikao cha jioni.
Bunge la Wendawazimu huendeshwa kiwazimu wazimu tu.
ReplyDeleteHaya ndo mambo ya HOVYO HOVYO aliyoyakataa Mhe. Zito Kabwe haya. Mweeh!
ReplyDelete