April 12, 2009

Shamra Shamra za PASAKA Ufukweni

Raha ya maji ni kuyaoga....hawa waliamua kuoga.
wengine walikuwa wakibembea bila kujali wakubwa au watoto.
Wengine walikuwa watazamaji tu katika kuadhimisha siku kuu ya pasaka katika ufukwe wa Coco Beach Dar es salaam Aprili 12 2009.

No comments:

Post a Comment