KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
March 31, 2009
JK atimiza miaka 20 ya ndoa.
Rais Jakaya Kikwete na mkewe wakikata keki kuadhimisha miaka yao 20 ya Ndoa.
JK akimlisha keki mkewe Salma ikiwa ni maadhimisho ya miaka 20 ya ndoa yao jana.
No comments:
Post a Comment