KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
January 02, 2009
Sendew akabidhi bendera waogeleaji
Mkuu wa msafara wa timu ya kuogelea ya Tanzania Luis Sendeu(wapili kulia) akimkabidhi Bendera ya Taifa Nahodha wa timu ya wakazi ya Tanzania Samson Makere,Timu hiyo inayotarajiwa kuondoka Januari 5 kwenda nchini Afrika ya kusini kushiki mashindano ya kanda ya 4 Afrika,nchi 15 zitashiriki mashindano hayo,baada ya kukabidhiwa na Afisa wa baraza la michezo Tanzania (BMT)Mohamed Kiganja wa pili kutoka kushoto,anayefuata ni Afisa udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude,kulia ni Katibu wa chama cha kuogelea Noel Kiunsi.
No comments:
Post a Comment