December 15, 2008

Stars yatua jijini kwa kishindo

waziri wa Muungano Mohamed Seif Khatib akilamba picha na wachezaji wa staz baada ya kuwasilu Dar es Salaam wakitokea Sudan walipofuzu fainali za Mataifa a Afrika kwa wachezaji wa Ligi ndani pekee.
Mbunge wa Singida mjini Mohamed Dewj aliyevua shati akishangilia timu ya Taifa.

No comments:

Post a Comment