KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
December 12, 2008
Ofisi ya Waziri yawaka moto
Msemaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii George Matiko akionyesha namna moto ulivyoteketeza ofisi ya Waziri pamoja na sehemu ya Ofisi ya Katibu Mkuu wake Dar es Salaam jana usiku.
No comments:
Post a Comment