KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
November 02, 2008
UVCCM na UWT wakabidhi ofisi Kinondoni
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake CCM (UWT) , Wilaya ya Kinondoni Angela Kizigha na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) Wilaya hiyo Emmanuel Tamila wakiweka saini katika vitabu vya wageni wakati wa makabidhiano ya ofisi Dar es Salaam jana.
No comments:
Post a Comment