November 19, 2008

JK azuru Libya

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi katika Ikulu ya Tripoli Novemba 18 2008. Rais Kikwete alifanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Libya.

No comments:

Post a Comment