June 17, 2008

Maji haya hadi lini?

Mkazi wa kijiji cha Mkonze kilichopo nje ya mji wa Dodoma akichota maji katika kisima alichokichimba katika mto Mkonze uliokauka hivi karibuni.Kijiji hicho Kinakabiliwa na Uhaba wa maji safi na salama.

No comments:

Post a Comment