June 13, 2008

Madaraja ya Barabara ya Dodoma-Iringa

Moja kati ya Madaraja yaliyopo katika barabara ya Dodoma-Iringa mjini Dodoma yakiwa hayana kingo jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa watumiaji wa barabra hiyo.

1 comment:

  1. AnonymousJune 13, 2008

    Kaka umeingia huku kwa kishindo nakuaminia.

    ReplyDelete