KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 14, 2008
Dodoma kuwa na mnara wa aina yake
Mnara mpya unaojengwa na Mamlaka ya Ustawishaji wa Mji wa Dodoma na Vodacom uliopo katika makutano ya Jamatini mjini hapa. Mnara huu iwapo utakamilika utakuwa ni manara wa aina yake kwa ukanda wa afrika Mashariki.
No comments:
Post a Comment