KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
January 04, 2010
Amiri na Miriam walipomeremeta
Mhariri wa Michezo gazeti la HabariLeo, Amir Mhando akiwa mwenye furaha baada ya kufunga ndoa na Bi.Mariam Nassor huko Pemba hivi karibuni na kufanya tafrija kubwa jijini Dar es Salaam juzi.
Maharusi Amiri Mhando na Mariam Nassor wakiingia ukumbini.
mhhh jamani kupamba gani huko??? mtoto mzuri lakini kaonekana kama jini??? wapambaji muwe makini. hongera maharusi
ReplyDeleteyaani bi harusi hayo ma-make up mbona ugomvi toba hukujiona kwenye kioo nini yaani umekuwa kama umevaa mask lo, but nawatakia maisha yenye furaha
ReplyDelete