KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 27, 2009
Ajali ya Tanga
Wakazi wa korogwe3 wakiwa eneo la tukio ambapo basi la Mohamed Trans liligongana na Lori la mizigo na kuuwa wati 28 jana.
"Duh, hayo magari yalivyopondeka! Inaelekea walikuwa spidi sana maana ajali ilikuwa mbaya sana, hao waliopona kwa kweli wamshukuru Mungu mno."
ReplyDelete