September 10, 2015

NCCR-MAGEUZI WAZINDUA KAMPENI JIMBO LA MWANGA KUMNADI MSUYA

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akimtamburisha mgombea Ubunge katika jimbo la Mwanga ,Youngsevior Msuya mbele ya wananchi katika jimbo la Mwanga.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi na Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA,James Mbatia akihutubia katika mkutano huo.
Baadhi ya wananchi katika kata ya Kifula ,jimbo la Mwanga wakifuatilia uzinduzi wa mkutano wa kampeni wa chama cha NCCR-Mageuzi.
 
PICHA ZAIDI BOFYA >>> FK MATUKIO 

No comments:

Post a Comment