Maonesho ya JUA KALI/NGUVU KAZI yaanza Dar es Dar es Salaam
Kwa bia hivi ndo vyenyewe wadau
Maonesho ya nchi za Afrika mashariki yanayowahusisha wajasiriamali wadogo maarufu sana kama Jua Kali/Nguvu Kazi yameanza Novemba 23 -29,2009 katika viwanja vya maonesho ya biashayta ya Kimataifa saba saba (mwalimu Nyerere Dar es Salaam.Pichanai ni Mjasiriamali Glory Frank kutoka majengo Moshi akiwa ametuletea vikombe vya asili vya kushushia mambo flani.
November 23, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment