Nafasi Ya Matangazo

November 23, 2009

Eva wa HAZINA alivyoiaga familia yakeEva Ngowi (kushoto) na mpambe wake Monica Sapanjo wakati wa tafrija ya kumuaga Eva iliyofanyika katika ukumbi wa Peace mjini Moshi. Eva anataraji kuoana Jumamosi hii jijini Dar es Salaam. Eva akimnywesha Mbeke mchumba wake (mume mtarajali) Adabart Achard Tibikunda wakati wa tafrija hiyo mjini Moshi.
Kapu la mama...Eva akikabidhiwa zawadi za kapu la mama.
Ebwanaeeee... Eva ametukutanisha vijana wa zamani Mzumbe wakati huo ni IDM, toka shoto ni Father Kidevu a.k.a Mroki Mroki, Jonse Mwalemba, Adabart Archard na Peter Katalyeba.
Tabasamu la mama la kumuaga Binti yake, akina mama wengine hulia lakini huyu anafurahia heshima aliyopewa na Binti yake anaolewa. Ni mama Claudia Ngowi na Eva Ngowi.
"La Familia" hii ni timu ya watu wazito kutoka Hazina ambako Eva anafanyika kazi waliofunga safari Dar mpaka Moshi kushuhudia mwenzao akiaga familia yake.
Sherehe kawaida ni kula na kula ndio sherehe, hapa ndio wakti muafaka Bwa harusi mtarajali akiongoza kufanya mambo ya tumbo. (Picha zote na MD Digita Company-0755373999/0717002303)
Posted by MROKI On Monday, November 23, 2009 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo