Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais
Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi alipomtembelea kumjulia
hali Jijini Dar es Salaam.Disemba 5,2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakiomba Dua
Maalumu na Rais Mstaafu wa awamu ya pili , Ali Hassan Mwinyi, Bi. Sitti
Mwinyi (Mke wa Mzee Mwinyi) pamoja na Abdallah Mwinyi (Mtoto wa Mzee Mwinyi)
alipomtembelea kumjulia hali Jijini Dar es Salaam.Disemba 5,2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais
Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi alipomtembelea kumjulia
hali Jijini Dar es Salaam.Disemba 5,2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Bi
Sitti Mwinyi Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi
alipomtembelea kumjulia hali Rais
Mstaafu Jijini Dar es Salaam.Disemba 5,2018 . Picha na Ikulu.
0 comments:
Post a Comment