Nafasi Ya Matangazo

March 13, 2018

  Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi akiongea na viongozi wa chama cha mapinduzi jimbo hilo walipokutaka mjini mafinga kuzungumzia changamoto za jimbo hilo na nini kifanyike kutatua changamoto hizo
  Mbunge wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi akiwa na viongozi mbalimbali wa chama cha mapinduzi 

Na Fredy Mgunda,Iringa.
 MBUNGE wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi amesema kuwa vijiji vyote vya jimbo hilo vitapatiwa umeme wa LEA ambao unafadhiliwa na serikali kwa lengo la kuchochea maendeleo ya wananchi waliopo vijijini

Chumi amewatoa hofu hiyo wananchi wa jimbo hilo juu ya upatikanaji wa umeme wa LEA wakati alipofanya mkutano na viongozi wa chama cha mapinduzi wa kata zote wa jimbo hilo.

Lakini mbunge huyo alitoa dira ya muelekeo wa jimbo hilo kimaendeleo kwa kuwakumbusha wapi walikotoka na wapi wanaendelea
Posted by MROKI On Tuesday, March 13, 2018 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo