Nafasi Ya Matangazo

January 29, 2018

MBUNGE wa Jimbo la Chalinze, Mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete amefanya ziara ya kukaguamiradi ya maendeleo Latina jimbo lake la Chalinze na safari hit akita ametembelea kijiji cha Mnhindi .

Akiwa kijijini haps, Ridhiwani aliweza kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji hicho ambayo ujenzi wake unsends kwa kasi na pindi ikikamilika itahudumia wakazi wanaoishi katika Kijiji hicho na Vitongoji Vyake. 

"Tumeshauriana kujipanga kwa ujenzi wa Kituo cha Afya kwa kuwa kukamilika kwa Bandari kavu ya Kwala kuna  athari kubwa pia kwa maendeleo ya kijiji hicho na hitaji la huduma za Afya kwa watoa huduma katika eneo hilo," alisema Ridhiwani.
 Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akitembezwa kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati hiyo ya Mnhindi.
 Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mnhindi  kama inavyoonekana ilivyofikia sasa.
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akitembezwa kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati hiyo ya Mnhindi.
Wakazi wa Kijiji cha Mnhindi wakiwa Latina montano wa hadhara na Mbunge wao (hayupopichani)
Posted by MROKI On Monday, January 29, 2018 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo