Nafasi Ya Matangazo

January 25, 2018

MIGOGORO ya ardhi ni miongoni mua vitu ambavyo vimekuwa vikirudisha sana maendeleo nyuma.

Mara nyingi migogoro hiyo husababisha kusimama kwa shughuli mbalimbali za amendes kama ujenzi na kubwa zaidi shughuli za kilimo kwa wananchi wa maeneo husika hasa maeneo ya vijijini amber hutegemea arch kwa kuzalisha chakula.

Chalinze ni moja ya Halmashauri za Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani ambazo zinakabiliwa na migogoro kadhaa ya ardhi. 

Miongoni mwah migogoro hiyo ni ule uliopo katika Kijiji cha Kwamduma Kata ya Kibindu, amber ni baissa ya kijiji hicho na Hifadhi ya Uzigua.

Katika kutafuta utatuzi wa migogoro hiyo, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete alitembelea kijiji cha Kwamduma ili kuona namna ya kutatua agogo huh wa muda mrefu vaina ya Kijiji na Hifadhi.

Ridhiwani alisema lingo la tiara hiyo ni kuangalia athari za migogoro ya arch Latina kijiji Nicholas na kuzitafutia ufumbuzi baina ya wananchi na hifadhi".

"Nimefanya Ziara katika kijiji cha Kwamduma, Kata ya Kibindu kuangalia Athari za Migogoro Baina ya Kijiji na Hifadhi ya Uzigua, katika ziara hiyo tumeona hitaji la kukaa chini na watu wa hifadhi na kujadili suala la mipaka inayotembea,"alisema Ridhiwani. 

Alisema kuwa wamekubaliana na Serikali kuingilia kati mgogoro huo na kuutafutia ufumbuzi wa haraka.

"nashukuru Serikali imekubali kuushughulikia mgogoro huu kwa baraka ndani ya kipindi kifupi, ili shughuli nyingine za maendeleo ziendelee,"alisema Ridhiwani.
Posted by MROKI On Thursday, January 25, 2018 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo