Nafasi Ya Matangazo

November 20, 2017


Wahitimu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, wakiwa katika gwaride la kuingia kwenye viwanja vya mahafai yao ya 29 ya shule hiyo, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Wahitimu wanawake wa Ualimu, Diploma Shule za Msingi, wakiwa katika gwaride, wakielekea kwenye viwanja vya mahafali.

Kikundi cha Kaswida cha Sekondari ya Al Haramain kikitumbuiza wakati wakiongoza gwaride la wahitimu wa kidato cha nne, wahatimu wa Ualimu Ngazi ya 6 na Ualimu Elimu ya Awali, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

Wahitimu wa Ualimu, Elimu ya Awali, wakiwa katika mahafali yao hayo.

Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum (kushoto), akiongozwa na Mkuu wa Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir (kulia), kuelekea katika viwanja vya mahafali.

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Nuh Jabiri (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al Haramain, Suleiman Urassa (kulia), wakiuongoza msafara wa mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salim (hayupo pichani) kuelekea kwenye viwanja vya mahafali hayo.

Mwanafunzi wa kidato cha sita wa shule hiyo, Omar Maazi akisoma Qur'an, wakati wa mahafali hayo.

Mwanafunzi wa kidato cha nne, Salum Ruta, akitoa tafsiri ya aya za Qur'an iliyosomwa.

Wahitimu wa kidato cha nne, Nahya Salum (kushoto) na Halima Nassor, wakighani utenzi katika mahafali hayo.

Wahitimu wa kidato cha nne wakiwa katika mahafali yao hayo.

Mhitimu wa kidato cha nne, Yassin Omar (kushoto), akisoma risala ya wahitimu. Kulia anayemsaidia ni mhitimu mwenzake, Ismail Omar.
Mhitimu wa Ualimu Ngazi ya 6, Maulid Hamad (kushoto), akighani utenzi wakati wa mahafali yao hayo.

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir, akizungumza wakati akitoa taarifa ya shule hiyo kwa mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum (wa pili kulia) katika mahafali hayo.

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir (kushoto), akimweleza jambo mgeni rasmi katika mahafali hayo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum.

Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa, akitoa taarifa ya chuo hicho, kwa mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum (wa pili kushoto), katika mahafali hayo.

Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akitoa nasaha zake.

Mwanachuo wa Ualimu, Zainab Khamis, akighani utenzi wa kuwaaga wahitimu wa ualimu katika mahafali hayo.

Mwalimu wa Taaluma Sekondari, Rashid Kassim akitaja majina ya wahitimu kwa ajili ya kukabidhiwa vyeti vyao na mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum (katikati) katika mahafali hayo.

Mhitimu Nahya Nassor, akikabidhiwa cheti chake na mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Asma Maharagande.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Ruzna Ali Iddi.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Ismail Mngoya.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Amina Mwinyimkuu

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Abubakar Ali.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Ikram Alley.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Waziri Pambo.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha nne, Yakub Sheikh.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi,Mayasa Mussa.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi,Siza Mohamed.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi, Dogo Salum.
Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi, Khairat Bakar.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi, Firdaus Abubakar.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi, Bwashehe Yussuf.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi, Adolf Baltazar.

Mgeni rasmi, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhadi Mussa Salum, akimkabidhi cheti cha kuhitimu Diploma ya Ualimu Shule za Msingi, Joseph Mwebeya.(Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Posted by MROKI On Monday, November 20, 2017 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo