Nafasi Ya Matangazo

February 19, 2017


Familia ya Mzee Meinuf Wapalila na Victoria Bernard Ngowi wanasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao Innocent Wapalila kilichotokea Leeds, Uingereza tarehe 17/02/2017.

Msiba na utaratibu wa kusafirisha mwili na mazishi unafanyika Mbezi Beach jijini Dar es salaam mtaa wa Almasi nyumba namba 7.

Kwa uingereza, msiba upo nyumbani kwa marehemu Innocent, 18 Bayswater Mount, LS8 5LP, Leeds.

Gharama za kusafirisha mwili wa mpendwa wetu ni kubwa, ukiwa kama ndugu na rafiki, tunaomba mchango wako wa hali na mali utumwe kwa dada wa marehemu Bi Mariaconsolata Wapalila kwa namba ya M-Pesa 0754 270 433 au Airtel Money 0787 376 278 au akaunti ya benki namba 10300101003 (Bank of Africa).

Asante sana na mungu awabariki,
‘Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe’
Posted by MROKI On Sunday, February 19, 2017 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo