Nafasi Ya Matangazo

January 16, 2017

 Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia J. Wambura (katikati) akizindua Kitabu cha “Utamu wa Chungwa Sio Rangiye” kilichotungwa na kuandikwa na Mwandishi Chipukizi wa Vitabu Bi. Rachel Maleza (wa pili kulia). Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Sanaa katika Wizara hiyo Bibi. Leah Kihimbi na Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Lugha Bibi. Shani Kitogo
 Mwandishi Chipukizi wa Vitabu Bi. Rachel Maleza (kulia) akiongea na Waandishi wa habari kuhusu dhamira yake ya kuandika kitabu kwa ajili ya lengo la kuelimisha jamii hasa Vijana. Kushoto ni Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia J. Wambura
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia J. Wambura (kushoto) akiongea na Waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa jamii kusoma vitabu vinavyoandikwa na waandishi mbalimbali hususan rika la Vijana ili wapate kuelimika. Kulia ni Mwandishi Chipukizi wa Vitabu Bi. Rachel Maleza.
Posted by MROKI On Monday, January 16, 2017 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo