Nafasi Ya Matangazo

December 27, 2016

 Maziko ya Mpigapicha Mpoki Bukuku yanatarajibkufanyika leo Kijijini kwao Msalato Dodoma yalipo makazi ya mamavyake nabyalipo makaburi ya Familia likiwepo la Baba yake na kaka yake. Tayari waombolezaji wameshaanza kuwasili na taratibu za mazishi zinaendelea.
Wamama wa Kinyakyusa wakiimba kuzunguka Jeneza la Marehemu Mpoki Bukuku.
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa nyumba ya muda ya Mpoki Bukuku.
Waombolezaji wakiwa katika eneo itakapofanyika ibada ya mazishi pamoja na eneo la makaburi.
Mpigapicha Mroki Mroki akisaini kitabu cha maombolezo, Msalato Dodoma.
Mpigapicha John Bukuku nae akisaini  cha maombolezo.
Mpigapicha Emmanuel Herman nae akisaini kitabu.
Mohamed Mambo, Mpigapicha nae akisaini Kitabu cha Maombolezo.
Posted by MROKI On Tuesday, December 27, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo