Nafasi Ya Matangazo

November 13, 2016

Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini, Anthony Mavunde, akikabidhi msaada wa vifaa tiba na dawa kwajili ya Kituo cha afya cha Makole Mkoani Dodoma mwishoi mwa wiki. Vifaa tiba hivyo vinathamani ya sh Milioni 15.
Makabidhiano ya dawa yakiendelea.

Posted by MROKI On Sunday, November 13, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo