Nafasi Ya Matangazo

November 02, 2016

Mbali na kupata burudani, chakula pamoja na vinywaji, mfundaji mashuhuri nchini Bi.Fatma atakuwa mfundaji kwenye Kongamano la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza, tarehe 06.11.2016 Gold Crest Hotel Jijini Mwanza.
Ni kuanzia saa kumi alasiri kwa kiingilio cha shilingi elfu arobaini tu.
Bonyeza HAPA Kujua Zaidi
Posted by MROKI On Wednesday, November 02, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo