Nafasi Ya Matangazo

August 05, 2016



WANYANGE 11 watakao panda katika jukwaa la Nashera Hotel mjini Morogoro kesho kuwania taji la Miss Kanda ya Mashariki 2016 wakiwa katika pozi tofauti katika kambi yao mjini Morogoro. Warembo hao ni kutoka mikoa ya Pwani, Lindi, Mtwara na Morogoro.
Posted by MROKI On Friday, August 05, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo