Nafasi Ya Matangazo

August 10, 2016

Ahali eneo la Mikese barabara kuu ya Morogoro-Chalinze ambapo magari mawili yamegongana kishankutumbukia mtaroni n kuwaka moto. Mtu mmoja anahofiwa kufa na kuteketea kwa moto huo.
 Moto ukiendelea kuwaka.
Kikosi cha Jeshi la Zimamoto kilifika na kujaribu kuzima moto huo mkubwa ili kuruhusu magari yaweze kupita na kuendelea na safari zao.
Posted by MROKI On Wednesday, August 10, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo