Nafasi Ya Matangazo

July 31, 2016

 Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Group wakisafishwa   kucha za miguu pamoja na kupakwa rangi kwenye burudani za siku ya familia

*********
Wafanyakazi wa TBL Group wa Dar es Salaam na familia zao walikutana na familia zao na kukaa pamoja na kufurahi huku wakishirikiana kucheza michezo,kupata burudani ya muziki na vichekesho kutoka kwa wasanii mbalimbali bila kusahau misosi na vinywaji hali ambao ilileta furaha katika tukio hilo muhimu kwa kampuni la kuwafanya wafanyakazi kuzidi kufahamiana kwa karibu nje ya mazingira ya kazi na familia zao pia kuwa na ukaribu.

Mkurugenzi Rasiriamali watu wa TBL Group David Magesa (kushoto) akimkabidhi Mercy Maliwa  zawadi kwa kuibuka mshindi wa shindano la mpango wa AfyaKwanza , wakati wa wa  Siku ya wafanyakazi wa kampuni hiyo (Family Day) iliyofanyika kwenye viunga vya  hoteli ya Fun City Kigamboni jijini Dar es Salaam
 Wana msondo wakimwaga burudani kwa wafanyakazi wa TBL Group
 Msanii wa Vichekesho Joti akiburudisha watoto. BOFYA HAOA PUSOMA ZAIDI.

 Luiza Mbutu akiongoza juklwaa la Afrika Stars kutoa burudani
 Joti na Luiza Mbutu wakifanya yao jukwaani.
 Watoto wakicheza michezo mbalimbali wakati wa tamasha hilo la familia.
 Evance Bukuku nae alikuwepo na kufanya uchekleshaji wake...
 wakati wa Maakuli.
Watoto wakiweza kujibu maswali ya ufahamu na kujishindia zawadi
Posted by MROKI On Sunday, July 31, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo