Nafasi Ya Matangazo

June 26, 2016

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa  Rais (Muungano na Mazingira )January Makamba(MB) akisalimiana na wakazi wa Bumbuli mkoani Tanga baada ya kuwasili katika viunga vya Chuo cha Biblia Vuga kwaajili ya kutunuku vyeti kwa wahimu.

Kabla ya kutunuku vyeti hivyo Makamba, alipata fursa ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo chuoni hapo na kupata historia ya chuo. Pia aliupongeza uongozi wa chuo kwa kutoa elimu mbali mbali kwa wananchi waishio karibu na chuo na bumbuli kwa ujumla.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa  Rais (Muungano na Mazingira )January Makamba(MB) akisalimiana na wakazi wa Bumbuli mkoani Tanga baada ya kuwasili katika viunga vya Chuo cha Biblia Vuga kwaajili ya kutunuku vyeti kwa wahimu.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa  Rais (Muungano na Mazingira )January Makamba kijifunza namna ya utengenezaji wa Mizinga ya nyuki kwa kutumia udongo wa mfanyanzi,mizinga hiyo inauwezo wa kudumu miaka 80-100.
 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa  Rais (Muungano na Mazingira )January Makamba akielezwa historia ya chuo kwa kuoneshwa picha. BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI.
 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa  Rais (Muungano na Mazingira ) January Makamba Akitazama baadhi ya kazi za mikono za kikundi cha wakina mama wa Upendo,kikundi hicho kimepata mafunzo chuoni hapo.
 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa  Rais (Muungano na Mazingira )January Makamba akizungumza na hadhara ya chuo cha Vuga
 Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa  Rais (Muungano na Mazingira )January Makamba akipokea zawadi kutoka kwa akina mama
Akitunuku vyeti kwa wahitimu.
Posted by MROKI On Sunday, June 26, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo