Nafasi Ya Matangazo

May 01, 2016

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella akipiga mpira  kuzindua mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (COPA UMISSETA) ambayo yanadhaminiwa  na kampuni ya vinywaji ya Cocacola jana kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
 Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza, Hamis Maulidi akizungumza wakati wa hafla hiyo.
 Meneja masoko wa wa kampuni ya vinywaji baridi ya Cocacola Kanda ya Ziwa, Marco Masaka akizungumza katika uzinduzi huo.
 Katibu wa Baraza la Michezo la Taifa(BMT), Mohamed Kiganja akizungumza katika uzinduzi wa mashindano hayo.
Wanafunzi kutoka shule mbalimbali za sekondari mkoani Mwanza walihudhuria
Posted by MROKI On Sunday, May 01, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo