Nafasi Ya Matangazo

May 24, 2016

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akivuta kamba kuondoa kitambaa kuzindua mpango wa kampeni ya LONGA NASI inayomaanisha Sema au ongea na TAKUKURU kwa kutoa Taarifa za vitendo vya Rushwa au maoni ya kuboresha mapambano dhidi ya Rushwa ambapo uzinduzi huo umeambatana pamoja na uzinduzi wa matumizi mapya ya simu ya Dharura ya 113. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 24,2016 katika viwanja vya Mwembe Yanga Temeke jijini Dar es salaam. Kushoto Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki, kushoto Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Valontino Mlowola.
Posted by MROKI On Tuesday, May 24, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo