Nafasi Ya Matangazo

April 12, 2016

Wachezaji wa timu ya netiboli ya Uchukuzi Sports Club, Grace Mwasote (kushoto mwenye mpira) akizuiwa na Johari William wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Bandari, Kurasini mwishoni mwa wiki. Timu hiyo inajiandaa kwa mashindano ya Mei Mosi yatakayofanyika mjini Dodoma,
 Mary Kajigili (kulia) na Sharifa Mustafa
Maimuna Ayelo (kulia) akirusha mpira huku Mayasa Hamidu (kushoto) akiuzuia.
Grace Mwasote akiwa na mpira akiangalia jinsi ya kuwatoka wachezaji wenzake wa timu ya netiboli ya Uchukuzi Sports Club. Wengine pichani ni Johari William (kushoto) na Maimuna Ayelo.
 Tatu Kitula mmoja wa wafungaji tegemeo akijiandaa kurusha mpira.


 Matalena Mhagama mfungaji mkongwe pia wa timu  ya Taifa ya netiboli(kushoto), akizuiwa na Sharifa Mustafa (kulia) huku Mary Kajigili (kushoto nyuma),akiangalia.


Maimuna Ayelo (kushoto) akidaka mpira huku Subira Jumanne akijiandaa kumzuia katika mazoezi ya timu ya netiboli ya Uchukuzi yaliyofanyika kwenye uwanja wa Bandari Kurasini, wakijiandaa na mashindano ya Mei Mosi.
Posted by MROKI On Tuesday, April 12, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo