Nafasi Ya Matangazo

April 06, 2016

Photo Credits: @wjawando
Mgombea uwakilishi katika Bunge la Marekani William Jawando alihojiwa na Mubelwa Bandio katika studio za Kilimanjaro zilizopo Beltsville, Maryland nchini Marekani. Mbali na mambo mengine, alizungumzia kuhusu mikakati yake katika kuisaidia diaspora ya Afrika katika eneo lake na Marekani kwa ujumla. Ikumbukwe kwamba 10% ya wazaliwa wa Afrika wanaoishi Marekani, wapo katika jiji la Washington DC
Karibu ufuatilie mahojiano haya
Posted by MROKI On Wednesday, April 06, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo