Nafasi Ya Matangazo

April 30, 2016

Watu kadhaa wamenusurika baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Manispaa Bukoba ilipokuwa ikitua na rubani kupoteza uelekeo  kama inavyo onekana pichani.

Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Jijini Mwanza ,tukio limetokea majira ya saa nne asuhuhi ya leo Jumamosi April 30,2016.

Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa
Posted by MROKI On Saturday, April 30, 2016 1 comment

1 comment:

  1. Official Statement from AUric AIr
    http://www.auricair.com/General/BukobaIncident30April2016

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo