Nafasi Ya Matangazo

November 25, 2015

Rais wa Kenya amefanya mabadiliko katika Baraza lake la Mawaziri na kuwaacha wote ambao wizara zao zilikumbwa na tuhuma za ufisadi.

Rais Kenyatta amechukua hatua hiyo siku moja tu baada ya kutangaza ufisadi kuwa tishio kwa usalama wa kitaifa. Rais ameahidi kufanya mabadiliko zaidi katika afisi yake hivi karibuni.

Katika hotuba ilioonyeshwa kwa njia ya Televisheni, Rais Kenyatta ameongeza idadi ya wizara kutoka 16 hadi 20 na kuongeza idara mpya chini ya wizara mbalimbali katika kile alichosema ni kusaidia mawaziri kutekeleza majukumu yao bora zaidi.

Idara hizo zimeongezwa kutoka 26 hadi 41.
Rais Kenyatta amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri baada ya mawaziri sita kulazimika kujiondoa kutokana na wizara walizosimamia kuhusishwa na ufisadi huku wawili kati yao wakikabiliwa na kesi mahakamani.

BARA JIPYA LA MAWAZIRI HILI HAPA
  1. Mining - Dan Kazungu
  2. Environment - Prof Judy W Wakhungu
  3. Devolution & Planning - Mwangi Kiunjuri
  4. Water & Irrigation - Eugene Wamalwa
  5. Finance – National Treasury - Henry K Rotich KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
  6. Sports Arts & Culture - Dr Hassan Wario Arero
  7. Education - Dr Fred Okengo Matiangi
  8. Transport & Infrastructure - James Macharia
  9. Agriculture - Willy Bett
  10. Interior - Gen (Rtd) Joseph K Nkaissery
  11. Foreign Affairs - Amb Amina Mohamed
  12. Public Service Youth & Gender Affairs - Sicily Kanini Kariuki
  13. Tourism - Najib Balala
  14. Energy & Petroleum - Charles Keter
  15. Health - Dr Cleopa Kilonzo Mailu
  16. Labour & EAC Affairs - Phylis J K Kandie
  17. Defence - Amb Dr Raychelle Awuor Omamo
  18. Lands - Prof Jacob T Kaimenyi
  19. Industrialization - Adan Mohamed
  20. ICT - Joe Mucheru
  21. Attorney General - Prof Dr Githu Muigai
MAKATIBU WA KUU WA WIZARA HAWA HAPA
  1. Agriculture- Richard Lesiyampe
  2. Arts, Culture - Joe Okudo
  3. Basic Education - Dr Belio Kipsang
  4. Broadcasting & Telecommunications - Sammy Itemere
  5. Cooperatives - Ali Noor Ismail
  6. Correctional Services - Micah Powon
  7. Defence - Amb Peter K Kaberia
  8. Devolution - Mwanamaka Mabruki
  9. EAC Integration - Betty Chemutai Maina
  10. Energy - Eng Joseph Njoroge
  11. Environment - Charles Sunkuli
  12. Fisheries - Prof Ntiba Micheni
  13. Interior - Eng Karanja Kibicho
  14. Youth and Public Service - Lilian Omollo
  15. Health - Nicholas Muraguri
  16. Housing & Urban Development - Aidah Munano
  17. ICT & Innovation - Victor Kyalo
  18. Industry & Enterprise Development - Julius Korir
  19. Infrastructure - John Musonik
  20. Foreign - Dr Amb Monica Juma
  21. International Trade - Dr Chris Kiptoo
  22. Irrigation - Patrick Nduati Mwangi
  23. Labour - Khadija Kassachoom
  24. Lands - Mariam El Maawy
  25. Livestock - Dr Andrew K Tuimur
  26. Maritime Commerce - Nancy Karigithu
  27. Mining - Dr Mohammed Ibrahim Mahmud
  28. National Treasury - Kamau Thugge
  29. National Water Services - Fred Sigor
  30. Natural Resources - Dr Margaret Mwakima
  31. Petroleum - Andrew Kamau Nganga
  32. Planning & Statistics - Saitoti Torome
  33. Public Works - Dr Paul Maringa Mwangi
  34. Social Security & Services - Susan Mochache
  35. Special Programmes - Josepheta Mukobe
  36. Sports Development - Richard Ekai
  37. Tourism - Fatuma Hersi
  38. Transport - Wilson Nyakera Irungu
  39. University (Higher) Education - Prof Colleta Suda
  40. Vocational & Technical Training - Dr Dinah Jerotich Mwinzi
  41. Gender Affairs - Zeinab W Hussein
Posted by MROKI On Wednesday, November 25, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo