Nafasi Ya Matangazo

October 13, 2015

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Juma Pinto akimpa Rais  Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutambua mchango wake mkubwa katika kuendeleza michezo nchini wakati wa hafla maalum ilioandaliwa na TASWA katika ukumbi wa Mlimani City jana  jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dionis Malinzi na kushoto ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Fenella Ephraim Mukangara.
Posted by MROKI On Tuesday, October 13, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo