Nafasi Ya Matangazo

October 08, 2015

Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya sherehe za miaka 65 ya kuzaliwa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete na miaka 55 ya kuzaliwa mdogo wake Yusufu Mrisho Kikwete jana jioni jijini Dar es salaam. Rais Kikwete na mdogo wake walisherehekea siku zao za kuzaliwa kwa kukata na kula keki na wajukuu wao na wa jamaa, ndugu na marafiki waliowaalikwa kwenye sherehe hii fupi iliyojaa furaha na bashasha.
Keki
Wajukuu wakimchukua babu wakamwimbie na kukata naye keki
Mjukuu akiogoza wajukuu wenzie kumwimbia babu
Wajukuu wakimwimbia babu.
Wajukuu wakimsaidia babu kupuliza mishumaa
Babu akikata keki huku wajukuu wakiisubiri kwa hamu.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Wajukuu wakiendelea kusubiri keki
Babu akiwalisha wajukuu keki
Kila mjukuu alipata keki
Keki ya babu taaamuu.....
Mufti Mkuu wa Taanzania na wageni wengine waalikwa wakishuhudia babu akiwalisha keki wajukuu
Sasa ni zamu ya babu kulishwa keki na wajukuu
 "....We love you babu..."
Karibu keki babu...
Babu akiendelea kulisha keki wajukuu
Bibi, Mama Salma Kikwete, akimsaidia Babu kuhakikisha kila mjukuu kapata keki
Kila mjukuu anapata keki
Babu na bibi wakiendelea kuandaa keki
Selfie zilikuwepo pia
Posted by MROKI On Thursday, October 08, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo