Mkurugenzi
Mkazi wa Oxfam Tanzania Jane Foster akiwashukuru wadau mbalimbali ambao
wamefanikisha mchakato mzima wa kuendesha shindano la Mama Shujaa wa
Chakula, Pia Kipekee Amewashukuru wafanyakazi wa Oxfam akiwepo Eluka
Kibona na Suhaila Thawer kwa kuwa Mstari wa mbele kufanikisha Shindano
hili na Mwisho kuwatakia kila Laheri washiriki wote wanaokwenda katika
kushindana kumpata Mama Shujaa wa Chakula.
Washiriki
wa Shindano la Mama shujaa wakiwa wanatambulishwa Tayari kuelekea
Kisalawe Kijiji cha Kisanga kwa ajili ya kumsaka mshindi ambapo Programu
mzima itaoneshwa katika Runinga ya ITV kila Siku kuanzia Tarehe
2.08.2015-21.08.2015 kuanzia saa 12 Jioni. SOMA ZAIDI HAPA
0 comments:
Post a Comment