Nafasi Ya Matangazo

August 30, 2015

Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni  kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) DK.Faustine Ndugulile akihutubi Mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Mzim Kata Vijibweni Kigamboni Dar es Sallam (PICHA ZOTE  NA KHAMISI MUSSA).
 Wananchi wakifurahia alipokuwa akipanda jukwaani Mgombe ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM DK.Faustine Ndugulile
 Wanacha wakimsikiliza kwa makini Mgombea
 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke na Mjumbe Halmashauri kuu Mkoa, Yahaya Sikunjema  (kulia) akimkabidhi Ilani ya Chama hicho Mgombea nafasi ya Udiwani kupitia Chama hicho   Zacharia Mkundi  katika mkutano wa kampeni ulio fanyika Kata ya Vijibweni Dar es Sallam
 Mwenyekiti CCM Wilayalaya ya Temeke na Mjumbe Halmashauri kuu Mkoa, Yahaya Sikunjema  (kulia) akimnadi  Mgombea nafasi ya Udiwani kupitia Chama hicho   Zacharia Mkundi  katika mkutano wa kampeni ulio fanyika Kata ya Vijibweni Dar es Sallam
 Mkundi  akizungumza na wananchi
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni  kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)  DK.Faustine Ndugulile akiwa anasindikizwa na wananchi na wanacha wa Chama hicho
   Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni  kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)  DK.Faustine Ndugulile akiwa anapanda jukwaani
 Mwenyekiti  wa CCM Wilaya  ya Temeke na Mjumbe Halmashauri kuu Mkoa, Yahaya Sikunjema  (kulia) akimnadi kwa wanachi   Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni  kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)  DK.Faustine Ndugulile
 Wnanchi wakimsikia Mgombea Ubunge kupitia Cha
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni  kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) DK.Faustine Ndugulile akizungumza na  Wananchi na Wanachama wa chama hicho katika uzinduzi wa kampeni Uwanja wa Mzima  Kata ya Vijibweni Dar es Salaam

Posted by MROKI On Sunday, August 30, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo