Nafasi Ya Matangazo

July 04, 2015

 Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume baada ya kuibuka washindi wa jumla katika Maonyesho ya Biashara ya 39 ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade), Jacquline Maleko. 
 Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi tuzo Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume baada ya kuibuka washindi wa jumla katika Maonyesho ya Biashara ya 39 ya Kimataifa ya Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Abdallah Kigoda na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade), Jacquline Maleko. 
Picha ya Pamoja.
Maofisa wa NSSF wakifurahia tuzo walizopata baada ya kuwa washindi wa jumla katika maonyesho ya Sabasaba.
Maofisa wa NSSF wakiwa katika maonyesho ya Sabasaba. 
Baadhi ya maofisa wa NSSF wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa maonyesho ya Sabasaba pamoja na utoaji wa tuzo kwa washindi ambapo NSSF waliibuka washindiwa jumla.
Maofisa wa NSSF wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa maonyesho hayo pamoja na utoaji wa tuzo kwa washindi.
Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume (kulia) akiwa na baadhi ya maofisa wa NSSF wakati wa uzinduzi wa maonyesho ya Sabasaba pamoja na utoaji wa tuzo kwa washindi ambapo NSSF waliibuka washindi wa jumla katika maonyesho hayo.
Posted by MROKI On Saturday, July 04, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo