Nafasi Ya Matangazo

July 02, 2015

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Adv. Anthon Mavunde akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano ya mpira wa Miguu kuwania Kombe la DC na kushirikisha timu 24 kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya hiyo jana.
Timu za Mpwapwa Academy na Kota FC zikizubiri kukaguliwa na mgeni rasmi. Katika mchezo huo wa ufunguzi Kota FC wqalishinda goli 3-2.
DC akikaribishwa kusalimiana na wachezaji.
Mdhamini wa michuano hiyo ya DC Cup 2015, Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Anthony Mavunde akisalimia wachezaji wa Kota FC.
Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Anthony Mavunde akisalimia wachezaji Mpwapwa FC
Wachezaji wa Mpwapwa FC wakiwa tayari kuanza pambano lao.
DC Mavunde akipata maelezo kutoka kwa viongozi wa mpira Mpwapwa.
Posted by MROKI On Thursday, July 02, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo