Nafasi Ya Matangazo

May 13, 2015

 Mbunge wa Monduli na waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akimfariji Mjane wa baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere kufuatia kifo cha mtoto wake John Nyerere wakati wa mazishi ya mtoto huyo wa nne wa Nyerere katika kijiji cha Mwitongo, Butiama, mkoani Mara leo.
Askari wa JKT wakiwa na mashada ya maua mbele ya jeneza lililo na mwili wa Mpiganaji Vita ya Kagera, Marehemu John Nyerere.
 Lowassa akisalaimana na wananchi wa Mwitongo.
 Lowassa akisaliama na mmoja wa viongozi wa dini mkoani Mara.
 Sehemu ya Viongozi wakiwa katika mazishi hayo leo.
 Viongozi wakiwa msibani hapo.
 Edward Lowassa (MB) akisaliama na baadhi ya wananchi wa Mwitongo, Butiama baada ya kushiriki mazishi ya John Nyerere leo.
 Mbunge wa Monduli akimfariji kaka wa Marehemu, madaraka Nyerere.
Posted by MROKI On Wednesday, May 13, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo