Nafasi Ya Matangazo

March 20, 2015

Aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa Tiketi ya Chadema, Kabwe Zitto akisoma barua aliyomwandikia Spika wa Bunge, Anne Makinda kumtaarifu kuwa anang'atuka nafasi ya Ubunge. Pia aliwaaga Wabunge wenzake na kuahidi kurudi tena Mungu akijalia baada ya Uchaguzi wa mwaka huu.
Wabunge mbalimbali wakiwepo wa Chadema, Cuf, NCCR na CCM walionekana dhahiri kububujikwa na machozi kufuatia kujivua kwake Ubunge.

HII NDIO BARUA ALIYOISOMA BUNGENI 

Posted by MROKI On Friday, March 20, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo