Nafasi Ya Matangazo

January 26, 2015


Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Saku, iliyopo Chamazi Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam, wakisoma chini ya mwembe shuleni hapo kufuatia uhaba wa vyumba vya madarasa ambapo shule inakadiriwa kuwa na wanafunzi zaidi ya 2500 huku wakiwa na vyumba saba tu vya madarasa
Baadhi ya walimu wa shule ya Msingi Saku, iliyopo Chamazi, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam wakifanya kazi zao chini ya miti ambako ndiko wamegeuza ofisi kutokana na uhaba wa ofisi na vyumba vya madarasa shuleni hapo.
Mwalimu wa shule ya Awali, akiwa chini ya mti amezungukwa na watoto wake wakati wa kupitia kazi zao za darasani.
Posted by MROKI On Monday, January 26, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo