Nafasi Ya Matangazo

September 26, 2014

 Wacheza shoo walioandaliwa kutoa burudani wakionesha uwezo waowakati wa mashindano ya vipaji vya wanawake (WOMEN TALENT SYSTEM) ilifanyika Septemba 25,2014 katika Hotel ya JB BELMONT jijini Dar es Salaam.
 Rais wa Shirikisho la Dunia la mchezo wa Karate (UPAM), Profesa  Martina Maurizio akionesha uwezo wake wakuvunja vibao kwakutumia mkono.
 Profesa  Martina Maurizio akionesha uwezo kwa jiwe lilokuwa limewekwa kifuani kwake na kunjwa kwakutumia nyundo.
Wacheza shoo walioandaliwa kutoa burudani wakionesha uwezo wao.
PICHA NA PHILEMON SOLOMON
Posted by MROKI On Friday, September 26, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo