Nafasi Ya Matangazo

September 03, 2014

 8U5A4347
Miss Tanzania USA Pageant wa 2013 Joy Kalemera akimvisha taji miss Tanzania USA pageant 2014 Aysha Cheyo siku ya Jumamosi Aug 31, 2014 Baada ya kunyakua taji hilo kwenye mashindano ya umiss yaliyofanyika Slvr Spring, Maryland nchini Marekani.
Miss Tanzania USA pageant 2013 Joy Kalemera akipigia makofi mshindi mpya wa taji hilo Aysha Cheyo mara tu baada ya kumaliza kumvika taji hilo.
Mshindi wa taji la miss Tanzania USA Pageant Aysha Cheyo akiwa na furaha ya kunyakua taji hilo.
Aysha Cheyo na Joy Kalemera wakiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi wa Miss Tanzania USA Pageant Ma Winny Casey.
Mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant Aysha Cheyo akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Kupewa Mushala (kushoto) na mshindi wa tatu Jessica Lavius na miss Congeniality ni Grace Mlingi.
Posted by MROKI On Wednesday, September 03, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo